Psalms 9:1

Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.
Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.
Zaburi ya Daudi.

1 bEe Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,
nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.
Copyright information for SwhNEN